ChamaLink Logo ChamaLink Chama cha Mafundi Tanzania
Menu
Wazi

Fundi Mabomba wa Mradi

Eneo Arusha
Tawi Dar es Salaam
Taaluma Plumber
Mwisho 25/09/2026
Nafasi 2

Maelezo ya Kazi

Tunatafuta fundi mabomba kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa. Kazi inahusisha ufungaji wa mifumo yote ya maji safi na maji machafu.

Mahitaji

Uzoefu wa miaka 5, ujuzi wa kusoma michoro ya maji, uwezo wa kufanya kazi katika timu

Omba Kazi Hii

Ingia Kuomba