ChamaLink Logo ChamaLink Tanzania Artisans Association
Menu
Open

Fundi Mabomba wa Mradi

Location Arusha
Branch Dar es Salaam
Profession Plumber
Deadline 25/09/2026
Positions 2

Job Description

Tunatafuta fundi mabomba kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa. Kazi inahusisha ufungaji wa mifumo yote ya maji safi na maji machafu.

Requirements

Uzoefu wa miaka 5, ujuzi wa kusoma michoro ya maji, uwezo wa kufanya kazi katika timu

Apply for this Job

Login to Apply